Tuesday, August 26, 2014

TIMU ZA ENGLAND ZAENDELEZA KUFANYA USAJILI WAO WA NGUVU,NA HII NDO TIMU AMBAYO ETOO ANATUA LEO HII

Samuel Eto’o anatarajia kutua leo hii na kufanya vipimo kabla ya kumalizia usajili wake na Everton. Imeelezwa mazungumzo na kila kitu kimeshakamilika ili Eto’o atue Everton. Lakini taarifa nyingine zimeeleza, Everton imemtaka Eto’o kupunguza kiwango cha mshara. Mshahara wake akiwa Chelsea msimu uliopita ulikuwa ni pauni 130,000 kwa wiki.

0 comments:

Post a Comment