mshambuliaji Mario
Balotelli ameamua kuchukua
jezi kipenzi chake namba 45
ambayo ataitumia akiwa na
Liverpool.
Balotelli amekuwa akiitumia
namba 45 tokea akiwa Inter
Milan, baadaye akajiunga na
Man City na hata
alipokwenda AC Milan.
Jezi hiyo anaamini ndiyo
yenye bahati kwa kuwa
wakati akiwa kinda
anaichezea Inter Milan,
alifunga mabao manne katika
mechi nne.
Katika kikosi cha AC Milan,
vijana waliochaguliwa
kuchezea timu ya wakubwa
huvaa jezi kuanzia namba 36
hadi 45.
Kingine Balotelli ambaye
leo alishuhudia mechi kati
ya Man City dhidi ya timu
yake mpya ya Liverpool
akiwa jukwaani Ambapo man city ilishinda 3-1, a amekuwa
akitania 4+5=9 akiwa ana
maana anavaa jezi namba 9,
kijanja. |
0 comments:
Post a Comment