Wazee wa dozi; Mshambuliaji wa
Spurs, Emmanuel Adebayor
akipongezwa na wenzake baada
ya kufunga bao katika ushindi wa
4-0 dhidi ya QPR Uwanja wa
White Hart Lane. Mabao mengine
ya Tottenham Hotspur
yamefungwa na Chadli mawili na
moja Eric Dier kikosi cha
Mauricio Pochettino kiking'ara
leo katika Ligi Kuu ya England |
0 comments:
Post a Comment