Mohamed Abdallah, Zanaibar
Kikosi cha Simba
kinachoongozwa na
Patrick Phiri,
kimeishinda Kilimani
ya daraja la pili
Zanzibar kwa mabo
2-1 katika mechi ya
kirafiki iliyopigwa
kwenye Uwanja wa
Amaan mjini hapa.
Ingawa ina kikosi kinachoundwa
na Kilimani wengi kweli, Chipukizi
ilionyesha soka safi na la kuvutia.
Timu hiyo inasifika
kwa soka la kasi na
pasi nyingi ikiwa
Simba wakati mgumu
kwa muda mwingi.
Simba ndiyo ilianza
kupata bao kupitia
Amissi Tambwe kwa
mkwaju wa penalti
lakini Kilimani
wakasawazisha katika
dakika ya 78.
Simba walifanikiwa
kupata bao la pili
katika dakika ya 84
kupitia Haruna
Chanongo.NA MDADISI BLOG /FESTOSAIMON |
0 comments:
Post a Comment