Thursday, August 21, 2014

Picha: Hii ndo hotel ambayo wachezaji waliochaguliwa kukipiga na wakongwe wa Realmadrid Agosti 23 wameweka kambi

Kikosi cha Tanzania Eleven chini ya Kocha Charles Boniface Mkwasa, kitaweka kambi kwenye hoteli maarufu ya kisasa ya Sapphire Court ya jijini Dar es Salaam. Kambi hiyo inatarajia kuanza leo na wachezaji wataingia kambini hapo kujiandaa kwa ajili ya mechi dhidi ya wakongwe wa Real Madrid itakayopigwa jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Madrid itaongozwa na Luis Figo aliyewahi kuwa nota wa Barcelona, baadaye Real Madrid na Inter Milan. Mechi hiyo inasubiriwa kwa hamu na tayari tiketi zimeanza kuuzwa katika sehemu mbalimbali.Na mdadisiblog/festosaimon

 BONYEZA HAPA KUHUNGANA NASI ILI UPATE HABARI KIRAHISI 

0 comments:

Post a Comment