 |
Kikosi cha Tanzania Eleven
chini ya Kocha Charles
Boniface Mkwasa, kitaweka
kambi kwenye hoteli maarufu
ya kisasa ya Sapphire Court
ya jijini Dar es Salaam.
Kambi hiyo inatarajia
kuanza leo na wachezaji
wataingia kambini hapo
kujiandaa kwa ajili ya
mechi dhidi ya wakongwe wa
Real Madrid itakayopigwa
jijini Dar es Salaam,
Jumamosi.
Madrid itaongozwa na Luis
Figo aliyewahi kuwa nota wa
Barcelona, baadaye Real
Madrid na Inter Milan.
Mechi hiyo inasubiriwa kwa
hamu na tayari tiketi
zimeanza kuuzwa katika
sehemu mbalimbali.Na mdadisiblog/festosaimon |
BONYEZA HAPA KUHUNGANA NASI ILI UPATE HABARI KIRAHISI
0 comments:
Post a Comment