Wednesday, June 11, 2014

GARI DOGO LA PINDUKA BARABARA YA KILWA ,JIJIN DAR ES SALAAM

Polisi wa usalama wa barabarani wakiwa eneo.la tukio

Gali dogo likiwa mtaroni

Mashuhuda wakishuhudia ajali hiyo

GARI dogo lililopata ajali leo mchana lilinaswa na mtandao huu baada ya kupinduka katika Barabara ya Kilwa eneo la Ufundi , jijini Dar es Salaam ambako dereva wake (jina halikujulikana ) alinusurika isipokuwa abiria wake (ambaye naye jina halikujulikana ) alipata majeraha kidogo .

Posted via Blogaway


Posted via Blogaway

0 comments:

Post a Comment