Wednesday, August 20, 2014

MWANADADA FUNMI AJIACHIA ILE MBYA SIKU YA BIRTHDAY YAKE…CHEKI PICHA HIZI AKIYAKATA MAYENU…!!!

Jina lake kamili ni Funmi Iyanda , mwandishi na mtangazi wa TV kutoka Nigeria...ana host kipidi cha New Dawn with Funmi. .Aliwahikutajwa na jarida la forbes kama Forbes 20 Youngest Power Women in Africa, 2011…cheki picha hizi akiselebuka na ma friend..kwenye siku yake ya kuzaliwa!!!!

MIZIGO KAMA HII NDIO HUWA INANIFANYA MIMI NISHINDE KUTWA NZIMA HUKO INSTAGRAM

HAYA NDO MATOKEO YA MECHI YA ARSENAL VS BESKITAS,UWANJA WA ATARARK

ARSENAL imejiweka katika mazingira mazuri ya kuvuka hatua ya mchujo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kulazimisha sare ya bila kufungana na wenyeji Beskitas, Uwanja wa Ataturk. The Gunnes walimpoteza nyota wao, Aaron Ramsey aliyeonyeshwa kadi ya pili ya njano na kuwa nyekundu dakika ya 80 baada ya kucheza rafu. Mkali mpya: Demba Ba (kulia) aliyejiunga na Besiktas kwa Pauni Milioni 4.7 kutoka Chelsea msimu huu leo alikuwa mwiba mbele ya mabeki wa Arsenal Katika mchezo huo, mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Demba Ba alikaribia kuifungia Beskitas dakika ya sita baada ya shuti lake kugonga besela, wakati Alex Oxlade-Chamberlain naye pia alikaribia kuifungia Arsenal alipogongesha mwamba mwishoni. Kocha wa Besiktas, Slaven Bilic pia alipandishwa jukwaani mwishoni mwa mchezo. Mchezo wa marudiano utafanyika Jumatano ijayo Uwanja Emirates. Kikosi cha Besiktas: Tolga, İsmail, Motta, Ersan, Pedro, Olcay/Tore dk72, Veli, Necip, Ozyakup/Frei dk80, Mustafa/Tosun dk88 na Demba Ba. Arsenal: Szczesny, Debuchy, Koscielny, Chambers, Monreal, Arteta/Flamini dk50, Ramsey, Cazorla/Rosicky dk90, Wilshere, Sanchez/Oxlade-Chamberlain dk72 na Giroud. Na mdadisiblog/festosaimon

 BONYEZA HAPA KUHUNGANA NASI ILI UPATE HABARI KIRAHISI 

Hatimaye Man United wakamilisha usajili mwingine – huyu ndio mchezaji wao mpya

Baada ya usajili wa Ander Herrera na Luke Shaw, klabu ya Manchester United leo hii imekamisha usajili wa mchezaji mwingine. Marcos Rojo, beki wa kiargentina aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya Sporting Lisbon amethibitishwa rasmi kujiunga na kikosi cha Louis Van gaal.

Rojo ambaye alichaguliwa katika kikosi bora cha kombe la dunia, amejiunga na United kwa ada ya uhamisho wa £16 pamoja na Luis Nani kwenda Sporting kwa mkopo. Manchester United wanaripotiwa kuhamishia nguvu zao kwa Angel di Maria wa Real Madrid.

 BONYEZA HAPA KUHUNGANA NASI 

Tuesday, August 19, 2014

PICHAZ: ILA TUACHE UTANI MENINAH ANA MLIMA WA HATARI!!! ONLY MEN....CHEKI PICHA HIZI

ALI KIBA AELEZEA ALICHOCHUKIZWA NA DIAMOND

Mwanamuziki wa Bongo Flava, Ali Kiba amefunguka kuhusu mambo yaliyomkwaza kutoka kwa Diamond miaka michache iliyopita baada ya mkali huyo kutoka na wimbo wa ‘Kamwambie’ uliogeuka kuwa wimbo wa taifa wa Bongo Flava kwa muda. Akiongea na kipindi cha Mkasi, Ali Kiba ameeleza kuwa yeye ndiye mtu aliyepitisha ombi la Diamond kurekodi katika studio za SharoBaro kwa kuwa wakati huo alikuwa mdau mkubwa katika uongozi wa studio hizo lakini matokeo yake yalimgeukia hadi kuamua kujitoa katika team hiyo. Ameeleza kuwa mara baada ya Diamond kutoka na Kamwambie, aliona gazeti moja lililokuwa lililomkariri akisema kuwa yeye ndiye ‘fimbo’ ya Alikiba na amekuja kumfunika. Hata hivyo maneno yaliyowekwa kaitika gazeti hilo yalianza kuaminika kwa Ali Kiba baada ya kukutana nae mara kadhaa kwenye shows. “Lakini nilishawahi kukaa na Diamond katika mikutano ya Shows ambazo tunaitwa pamoja wasanii na nini na nini. Mimi napendaga kuongea nae kama mdogo wangu kwa sababu the way nilivyokuwa nikimtreat ni kama wadogo zangu wengine akina Bob Junior akina nani… Nilimsikia akiongea sana kwamba nimekufunika kwenye show fulani, nimekufunika kwenye show fulani. Kwa kweli the way nilivyokuwa nikimtreat kama mdogo wangu. Kwa hiyo yeye alikuwa ameconcentrate sana katika kunifunika.” Alieleza Ali Kiba. “Mimi sio mtu wa kumind sawa. Kwa hiyo alivyokuwa anaongea anajifurahisha. Hata kama amenifunika mimi nilikuwa naweza kumpigia makofi vilevile. Si nataka afanikiwe. Kwanza nafurahi. Napenda sana challenge. Inakufanya unaaamke.” Aliongeza. Kujirudia kwa neno ‘kufunika’ kila walipokuwa akikaa na Diamond kuligeuka kuwa kero kwa Ali Kiba huku mengine yakipenya kutoka kwa watu wake wa karibu. “Kwa hiyo kitu ambacho kilikuwa kinahappen tukiwa karibu hivi, ni hivyo vitu ambavyo akizungumziwa nimekufunikaa..nimekufunika. Nikawa nikitoa video nasikia maneno, kwamba ‘Ali amesikia maneno nimetoa hii na yeye ametoa hii’. Mi sijawahi kumsikia mwenyewe akisema. Ila watu wake wa karibu wa karibu wanakuja wanasema. Unaweza kumjua mtu tabia yake kwa kumuangalia, kwa kuishi nae.” Ali ameeleza kuwa hata baada ya kuamua kukaa kimya amlee mwanae wa kiume alisikia tena maneno kutoka kwa mwimbaji kwa Diamond kuwa amemkimbia. Hata hivyo, hii ilikuwa story ya zamani ambayo wengi wanaweza kuwa nayo lakini ikamhusu mtu ambaye kwa sasa amekuwa rafiki wa kudumu. Hivi karibuni Ali Kiba alisema kuwa hana tatizo lolote na Diamond na kuwataka watu wasimgombanishe na msanii huyo. Ni muda wa biashara. Yaliyopita si ndwele (maradhi) tugange yajayo kwa maendeleo ya Bongo Flava. Kilichobaki ni ushindani wa kibiashara kama alivyosema Babu Tale

Msg 3 nimekutana nazo Whatsapp! Lazma ucheke

Whatsapp ni sehemu nyingine kubwa inayotumika kama mawasiliano na mamilioni ya watu duniani, sehemu ambayo inakuruhusu kumtumia mwenzio video, picha, sauti na mengine.

DUH, BASIUNAAMBIWA HIZI NDO PICHA TATA ZA DRAKE AKIWA NA NICK MINAJ, FULL MAJANGA. JIONEE

Nicki Minaj and Drake have famously said they are just friends and nothing can happen between them because they have a 'brother/sister' relationship. Well, if Nicki continues this way, Drake might just stop seeing her as a 'sister'. See the way he's concentrating on her butt...lol Nicki Minaj shared these pics from her Anaconda video which will drop on Wednesday.