Wednesday, August 13, 2014

Ebola:Canada kutoa chanjo ya majaribio

Serikali nchini Canada inase  ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika ambao hadi sasa umewaua zaidi ya watu 1,000. Hatua hii ni baada ya shirika la afya duniani kusema ni sawa kimaadili kutumia dawa ambayo bado infanayiwa majaribio kutibu wagonjwa katika hali ya dharura. Waziri wa afya nchini canada Rona Ambrose amesema kuwa nchi hiyo imetengeneza karibu dosi 500 za dawa hio lakini haijafanyiwa majaribio kwa binadamu. Wataalamu wanaonya kuwa...

Van Gaal awaonyesha Chicharito, Nani mlango wa kutokea Man United

SIKU chache kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya England na kufungwa kwa pazia la usajili katikia ligi hiyo, Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amewaeleza wachezaji sita akiwamo beki wa kulia Rafael kwamba wanaweza kuchapa mwendo. Marouane Fellaini, Wilfried Zaha, Nani, Shinji Kagawa na kinda yosso Will Keane pia wamevunja 'ndoa' na kikosi hicho cha Van Gaal na hilo limefanyika wakati United ikijifua katika Uwanja wa mazoezi wa Carrington Jumamosi...

Eliaquim Mangala ajiunga rasmi na Man City kutoka Porto.

Manchester City imefanikiwa kumsajili beki raia wa Ufaransa Eliaquim Mangala kutoka klabu ya FC Portokwa ada ya paundi milioni 32.. Beki huyo mwenye umri wa miaka 23 mesaini mkataba wa miaka 5 kuichezea klabu hiy...

Mkali wa movie Robin William akutwa amefariki ndani ya nyumba yake

Robin William ni star aliyeanza kupata mafanikio akifanya kazi kama stand up comedian na baadae kuanza kuonekana kwenye movie. Akiwa na miaka 63 Robin amefariki dunia kwa kifo ambacho hadi sasa hakijajulikana chanzo chake lakini tetesi zinasema kuna uwezekanao kwamba Robin alijiua. Mwili wake umekutwa nyumbani kwake huko Tiburon California na watu wa karibu wanasema alikuwa anasumbuliwa na msongo wa mawazo hivi karibuni. Enzi za uhai wake aliwai...

Ushahidi mwingine wa Chris Brown na Rihanna wapo karibu kurudiana

Baada ya siku moja tu Chris Brown ku-post poster la tour ya Rihanna na Eminem kwenye instagram, Chris Brown ameonekana kuendelea kuongeza ukaribu zaidi na Rihanna. Japokuwa picha haipo clear sana lakini inaonyesha Chris Brown alivyokwenda back stage ambapo alikuwepo Rihanna kwenye moja ya show za tour hiyo. Picha haionyeshi vizuri lakini kuna mashahidi wengi wanasema kwamba Chris Brown alikuepo backstage akiwa na Tyga na welienda kwa ajili ya ...

Hii ndio klabu kubwa nchini Uingereza ambayo Rihanna ameripotiwa kutaka kuinunua

Moja ya watu maarufu waliokumbwa na joto kubwa la soka wakati wa michuano ya kombe la dunia, alikuwa ni mwanamuziki Rihanna. Alikuwa akituma tweets karibia kwenye michezo yote na mwishoni alienda kuhudhuria fainali ya michuano hiyo iliyopigwa kwenye dimba la Maracana kati ya Ujerumani dhidi ya Argentina. Siku kadhaa nyuma gazeti la Daily Mail la Uingereza liliripoti kwamba staa huyo alikuwa anajiandaa kununua hisa kwenye moja ya vilabu vikubwa...

LOGARUSIC HAKUPEWA NAFASI YA KUFANYA KAZI YAKE

Simba SC wanajua sababu za msingi kwa nini walimtimua kocha Zdravko Logarusic kwa sababu ni wao wenyewe ndiyo walimuajiri, wao wanajua sababu za msingi kwa nini walikuwa na Loga, hilo ni juu yao kwa sisi ambao tupo nje ya klabu hatewezi kujua sababu hasa ya kufutwa kazi kwa Mcroatia huyo ambaye tayari alifanya kazi kwa kipindi cha nusu msimu wakati Simba ilipomaliza katika nafasi ya nne msimu wa 2013/14. Kwa mtazamo wa haraka tu unaqwweza kupata...

SAID MOURAD ALIPOTEA ‘ MABOYA’ MARA NYINGI KATIKA SARE YA 2-2 YA AZAM FC DHIDI YA ATLABARA

Atlabara walifanya shambulizi zito katika lango la Azam FC katika dakika ya 77 lakini golikipa chipukizi Aishi Manula alifanya kazi kubwa akazima jaribio la timu hiyo ya Sudan Kusini kupata bao la tatu. Azam ilizidiwa katika eneo la kiungo na kufanya sagu ya ulinzi kuyumba kwa kiasi kikubwa katika kipindi cha pili. Atlabara walipata kona mbili dhidi ya nne za Azam lakini walionekana kuwa hatari zaidi ya mabingwa hao wa Tanzania Bara kila walipokwenda...

MAXIMO AANZA KUANGALIA ALICHONACHO KIIZA

Mshambuliaji Mganda, Hamisi Kiiza, ameanza rasmi mazoezi na klabu yake chini ya kocha mkuu wa timu hiyo, Mbrazil, Marcio Maximo ambaye anaangalia uwezo wa mchezaji huyo pamoja na wale wengine ambao wote walikuwa wakizitumikia timu zao za taifa. Wachezaji ambao walikuwa timu za taifa za nje ni pamoja na Emmanuel Okwi, Haruna Niyonzima na Hamis Kiiza na wale wa Tanzania Kelvin Yondani, Mrisho Ngassa, Simon Msuva, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Oscar...

VAN GAAL AMPA ROONEY UNAHODHA MAN UNITED

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa England, Wayne Rooney ametuliwa kuwa Nahodha wa kikosi cha Manchester United na kocha Louis van Gaal. Mholanzi huyo amevutiwa shughuli ya mpachika mabao huyo wa England tangu aanze kazi Old Trafford na anaamini atakuwa chaguo sahihi kuwa kiongozi wa wachezaji wenzake katika timu. "Kwangu, wakati wote muhimu chaguo la Nahodha," amesema Van Gaal katika tovuti ya klabu hiy...