Wednesday, August 13, 2014

Eliaquim Mangala ajiunga rasmi na Man City kutoka Porto.

Manchester City imefanikiwa kumsajili beki raia wa Ufaransa Eliaquim Mangala kutoka klabu ya FC Portokwa ada ya paundi milioni 32.. Beki huyo mwenye umri wa miaka 23 mesaini mkataba wa miaka 5 kuichezea klabu hiyo.

0 comments:

Post a Comment