Tuesday, August 12, 2014

BAADA YA DIAMOND SASA NI ZAMU YA CINDY RULZ KUIWAKILISHA VYEMA BONGO KATIKA TUZO HUKO MAREKANI. SOMA HAPA

Baada ya kuepo uvumi wa mda mrefu kua msani Cindy Rulz anatoka kimapenzi na producer Lamar hatimaye Cindy mwenyewe ameamua kufunguka na kusema ukweli wote kuhusiana na ishu hiyo. Cindy alisema kua Lamar ni kama kaka yake na kamwe hawezi kua na uhusiano nae kimpenzi. Cindy aliyasema hayo jana usiku wakati akihojiwa katika kipindi cha Ala za roho kinachorushwa na Clouds huku mtangazaji akiwa Diva Loveness Love. Pia Diva alimuuliza kuhusu tetesi za...

DIAMOND UNAHITAJI PONGEZI KWA HIKI ULICHOKIFANYA KWA MSHINDI WA SUPER NYOTA MWANZA

Wakati msako wa kuwatafuta akina dada wanye vipaji vya kuimba kupitia Super Nyota Divas inayoendeshwa na Fetty kupitia Clouds FM ukiendelea katika mikoa mingine 17 baada ya kufanyika katika mkoa wa Mwanza, Diamond aahidi kufanya collable na mshindi wa Super Nyota Akiwa kwenye stage baada ya ku-perform na Lina "Kizaizai" Diamond alitoa tamko hilo akisema  KAMA BADO UJAJIUNGA NA BLOG HII BONYA HAPA&nbs...

NISHER ACHANWA KWA KUSEMA UONGO KUMHUSU PRODUCER HUYU WA VIDEO.

Katika pitapita zangu leo Facebook nkakutana na post ya aliyekua muandaaji mwenza wa Nisher Director wa video za mziki hapa Bongo ikitoa ufafanuzi kuhusu alichokiandika Nisher katika ukurasa wake Facebook. Bamushka amesema kua alichokiandika Nisher ni uongo na huu ndo ukweli aliouandika Facebook "NISHER WEWE HUKUNIFUNDISHA MIMI NNA ELIMU YANGU KUBWA TU YA PRODUCTION NA ULINIKUTA NAYO....FOR REAL IMESKITISHWA NA POST ZAKO ZOTE MBILI NILIAMUWA KUKAA...

Mganga wa Jadi Aua mgonjwa wake kwa kumtandika fimbo kichwani wakati Akimtibu

Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Vicent Kawawa (28) ameuawa kwa kupigwa na fimbo na kitu kizito kichwani na mganga wa kienyeji aliyekuwa anamtibu ugonjwa wa akili nyumbani kwake katika kijiji cha Buduba kata ya Nyandekwa wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga SACP Justus Kamugisha alisema tukio hilo limetokea Agosti 5 mwaka huu saa 12 jioni. Alisema Vicent Kawawa(28) mkazi wa kijiji cha Buduba akiwa...

Van Gaal awaonyesha Chicharito, Nani mlango wa kutokea Man United

Na festo saimon SIKU chache kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya England na kufungwa kwa pazia la usajili katikia ligi hiyo, Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amewaeleza wachezaji sita akiwamo beki wa kulia Rafael kwamba wanaweza kuchapa mwendo. Marouane Fellaini, Wilfried Zaha, Nani, Shinji Kagawa na kinda yosso Will Keane pia wamevunja 'ndoa' na kikosi hicho cha Van Gaal na hilo limefanyika wakati United ikijifua katika Uwanja wa mazoezi wa...

KWA HILI WEMA SEPETU UNAISHUSHA HADHI YAKO YA KUWA MKE WA DIAMOND PLATNUMZ

Mara nyingi Wema amekuwa akimsupport mchumba wake kwa kupanda naye jukwaani na hivyo kusababisha shangwe kubwa. ushabiki wa Wema kwa Diamond kidogo umepitiliza na hata kama umekuwa ukishangiliwa, tunahisi anajishusha kiaina. Kuna ile hadhi ya mke lazima ilindwe hasa kama mke ama mpenzi wako si msanii kama wewe. Wema ni muigizaji si dancer ama mwanamuziki na kwa muigizaji wa filamu mwenye mashabiki wengi, kupanda jukwaani na kukata viuno design...

HABARI MBAYA KWA MASHABIKI WA LADY JAYDEE, YADAIWA NDOA YAKE NA GARDNER YAVUNJIKA.

Ndoa ya mwanuziki Jay dee na mtangazaji mashuhuri wa radio Gardner G. Habash inasemekana imevunjika huku Gardner akihama Kimara alikokua akiishi na mkewe na kuhamia kwa moja wa ndugu zake wa karibu sana. chanzo cha kuvunjika ndoa hiyo bado hakijajulikana moja moja kwa moja ila wawili hao wamekuwa katika migogoro kwa muda.. na si mara ya kwanza kutengana ila this time hali si shwari. yazidi kusemekana kaka Gardner kazidi michepuko amekua haibi tena...

TETESI ZA SOKA ZILIZOSHAMILI KWENYE MAGAZETI MBALIMBALI YA ULAYA LEO JUMANNE ZIPO HAPA

Beki wa Liverpool Kolo Toure, 33, anajiandaa kujiunga na Trabzonspor ya Uturuki katika mkataba wa pauni milioni 1.5 (Daily Mail), boss wa Liverpool Brendan Rodgers anafikiria kumchukua mshambuliaji kutoka Cameroon, Samuel Eto'o, 33, ambaye ni mchezaji huru baada ya kuondoka Chelsea msimu uliopita (Guardian), Galatasaray wanafikiria kutoa pauni milioni 28 kuwachukua Joel Campbell, 22, na Lukas Podolski, 29, kutoka Arsenal (Daily Express), QPR wapo...

BREAKING NEWS: DEREVA WA BASI LA WACHEZAJI WA YANGA AFARIKI DUNIA ASUBUHI HII

Uongozi wa klabu ya Young Africans unasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Dereva wa Bus Kubwa la Wachezaji (Yutong) Bw Maulid Kiula kilichotokea alfajiri ya leo Ilala jijini Dar es salaam. Taratibu za mazishi zinaendelea nyumbani kwa marehemu mtaa wa Chunya karibu na Bungoni Ilala jijini Dar es salaam. Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema pepo...

MUHIMU SANA: USAILI WA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA WAKAZI WA MBEYA

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, BARAKAEL .N. MASAKI – ACP anawatangazia Wananchi wote ya kuwa orodha ya majina ya vijana waliomaliza Kidato cha Nne mwaka 2013 na cha Sita mwaka 2014 na kuchaguliwa kufanya usalii wa kujiunga na Jeshi la Polisi inapatikana kwenye tovuti ya Polisi: www.policeforce.go.tz au wafike ofisi ya kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya iliyopo Forest jirani na Mahakama kuangalia majina yao. Muhimu: • Mwombaji anaruhusiwa kufanya...

Mkali wa movie Robin William akutwa amefariki ndani ya nyumba yake

Robin William ni star aliyeanza kupata mafanikio akifanya kazi kama stand up comedian na baadae kuanza kuonekana kwenye movie. Akiwa na miaka 63 Robin amefariki dunia kwa kifo ambacho hadi sasa hakijajulikana chanzo chake lakini tetesi zinasema kuna uwezekanao kwamba Robin alijiua. Mwili wake umekutwa nyumbani kwake huko Tiburon California na watu wa karibu wanasema alikuwa anasumbuliwa na msongo wa mawazo hivi karibuni. Enzi za uhai wake aliwai...

Huu ndiyo usajili wa timu za Ligi Kuu za England

Romelu Lukaku amehamia jumla Everton toka ChelseaFillipe Luis (mbele) amehamia ChelseaDidier Drogba amerejea ChelseaKipa David Ospina ametua ArsenalLuke Shaw ametua Manchester United toka SouthamptonAlexis Sanchez ametua Arsenal toka BarcelonaARSENAL WALIOSAJILIWA Alexis Sanchez (Barcelona, £30m), Calum Chambers (Southampton, £12m), Mathieu Debuchy (Newcastle, £10m), David Ospina (Nice, £3m) WALIOONDOKA Thomas Eisfeld (Fulham, ada haikutajwa),...

MARADONA AMCHAPA KIBAO MWANDISHI WA HABARI.

Gwiji la soka ulimwenguni Diego Maradona ameibuka na skendo nyingine nchini Argentina baada ya kumzaba kibao mwandishi mmoja wa habari ambaye inasemekana alimsemea maneneo machafu mke wa zamani wa gwiji huyo. Kitrndo hicho kilimuhudhi Maradona ambaye alikuwa safarini pamoja na mtoto wake.  ASANTE NA KALIBU TENA ILA KAMA BADO UJAJIUNGA NASI BONYA HAPA&nbs...

DIAMOND PLATNUM- ”MRISHO NGASSA NDIYE MWANASOKA PEKEE NINAYEMFAHAMU TANZANIA”

Mwanamuziki wa Bongo Flovour Nchini Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platinums, amesema hajaridhilika na alipo sasa kimuziki, ndio maana kila siku anajifunza kwa kufuatilia kwa ukaribu maisha ya Nyota wengi hasa wanamichezo Kutoka Mataifa Tofauti Duniani. Diamond ambae ni miongoni mwa wanamuziki waliofanya vyema kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta Mkoani Mwanza hivi karibuni, ametoa taarifa za kuwafuatilia nyota hao mbalimbali kwenye mahojiano maalum...

MBEYA YAKIONA CHA MOTO KWA WATOTO WA TMK AIRTEL RISING STARS

TIMU ya wavulana ya Temeke jana imeyaanza vyema mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa kwa kuifunga Mbeya 2-1 katika mchezo wa ufunguzi uliochezwa kwenye uwanja wa kumbu kumbu ya Karume jijini Dar es Salaam. Baada ya kosa kosa za hapo na pale kutoka pande zote mbili, Temeke walifanikiwa kuandika bao lao la kwanza katika dakika ya 27 kupitika kwa mshambuliaji machachali Siaba Selehe. Bao hilo lilipokelewa...

KOCHA KIBOKO YA YANGA AWASILI DAR KUMWAGA WINO NA WEKUNDU WA MSIMBAZI

Na Princess Asia, DAR ES SALAAM KOCHA bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2009/2010, Patrick Phiri anatarajiwa kutua Dar es Salaam Ijumaa wiki hii kwa ajili ya kusaini Mkataba wa kuifundisha klabu yake ya zamani, Simba SC. Mzaliwa huyo wa Mei 3 mwaka 1956, alifanya kazi kwa awamu tatu tofauti akiwa na Wekundu hao wa Msimbazi kati ya mwaka 2004 na 2010 na kwa mafanikio makubwa- na sasa anataka kurejesha enzi. Mzambia huyo alishinda...

JE NIKWELI JOKATE ANAPENDA KUIGA MASTAA WA MAMTONI?!!! CHEKI PICHA HIZI

Urembo ni kitu kizuri na kwenda na Fasheni ndio msingi wakuonekana HOT kila wakati...mwanadada Jokate hayuko nyuma kwenda sambamba na wakali wa nje...big up!!!...umeziona  picha hizo  ni kwajinsigani anavyokwenda nao kwenye upande wa NYWELE!...

PICHA ZA WEMA NA DIAMOND WAKILA GOOD TIME ZIWANI JIJINI MWANZA!!!

...