Tuesday, August 12, 2014

DIAMOND UNAHITAJI PONGEZI KWA HIKI ULICHOKIFANYA KWA MSHINDI WA SUPER NYOTA MWANZA

Wakati msako wa kuwatafuta akina dada wanye vipaji vya kuimba kupitia Super Nyota Divas inayoendeshwa na Fetty kupitia Clouds FM ukiendelea katika mikoa mingine 17 baada ya kufanyika katika mkoa wa Mwanza, Diamond aahidi kufanya collable na mshindi wa Super Nyota Akiwa kwenye stage baada ya ku-perform na Lina "Kizaizai" Diamond alitoa tamko hilo akisema

 KAMA BADO UJAJIUNGA NA BLOG HII BONYA HAPA 

0 comments:

Post a Comment