Thursday, September 25, 2014

ZILE BAO NNE ZA RONALDO ULIZIONA? CHEKI ALIVYOSHANGILIA KILA BAO

Baada ya kuingoza Real Madrid kufunga mabao 8-3 dhidi ya Derpotivo, Cristiano Ronaldo amefanya kufuru nyingine kwa kupachika mabao manne wakati Real Madrid ikiiangamiza Elche kwa mabao 5-1. Ronaldo amepiga hat trick ya pili, katika mechi chache tu na ameonyesha anastahili kuwa mchezaji bora wa dunia.
Ronaldo alifunga hayo manne huku mshambuliaji mwingine nyota, Gareth Bale ambaye ndiye ghali zaidi katika soka, akapiga moja.
Real Madrid: Navas, Marcelo, Carvajal, Varane, Ramos, Kroos, Rodríguez, Illarramendi, Bale, Isco, Ronaldo Subs: Casillas, Coentrão, Benzema, Hernández, Arbeloa, Nacho, Modric Booked: Carvajal, Marcelo Scorers: Bale 20', Ronaldo 28', 32', 80', 90' Elche: Yagüe, Gallego, Pelegrín, Lombán, Cisma, Romero, Corominas, Rodrigues, Mosquera, Morales, Cristian de Jesus Booked: Gallego Scorer: Gallego 15' Subs: Suárez, Roco, Herrera, Martín, Fajr, Pasalic, Tyton Ref: Carlos Clos Gómez At: 65,000.

0 comments:

Post a Comment