Saturday, September 27, 2014
 |
Leo kupitia akaunti yake ya Instagram Diamond ametupia picha ya ile nyumba aliyosema anamjengeamama yake. Katika picha hiyo aliambatanisha na maelezo haya"Had to visit mama Chibu's Village today.."Nyumba hiyo inaonekana ya kifahari hasa ukiangalia muundo na mabati yaliyotumika kujenga nyumbahuyo. |
Credit bongoclantz
OI
ReplyDelete