Tuesday, September 16, 2014

SIRI IMEFICHUKA: ALIYEZAA NA RIYAMA WA BONGO MOVIE ANASWA LIVE! SHUKA NAYO HAPA!

Bw. Haggy (Baba Fatuma) akikata keki mwanaye.
Staa wa sinema za Kibongo, Riyama Ally akiwa na mpenzi wake anayefahamika kwa jina moja la Haggy . Muda mfupi baada ya Riyama na mwanaye kuingia ukumbini, waliofuatia kuingia huku wakicheza muziki kwa staili ya Kisambaa walikuwa ni wakwe, yaani baba wa mtoto na mama yake na ndugu wengine waliowasindikiza.

Posted via Blogaway

0 comments:

Post a Comment