Sunday, September 14, 2014

SASA RONALDO ANATAKA HELA HII ILI ALUDI MAN UNITED

Cristiano Ronaldo amefunguka na kusema yuko tayari kutua Manchester United au Chelsea lakini anahitaji kulipwa mshahara wa pauni 500,000 kwa wiki. Usisahau Man United ikiwa chini ya Alex Ferguson ilikubali kumuachia Ronaldo aende kwa kuwa ilishindwa kumlipa paumi 350,000 kwa wiki. Tayari wamiliki wa Man United wamemwaga mamilioni kwa Wayne Rooney ambaye sasa atakuwa anapata pauni 300,000 kwa wiki ikiwa ni baada ya kuanza kumlipa Ramadal Falcao pauni 390,000 kwa wiki. Swali linabaki kama ni kweli Chelsea au Man United zitakuwa tayari kutoa kitita hicho.

Posted via Blogaway

0 comments:

Post a Comment