Sunday, September 14, 2014
|
Cristiano Ronaldo
amefunguka na kusema yuko
tayari kutua Manchester
United au Chelsea lakini
anahitaji kulipwa mshahara
wa pauni 500,000 kwa wiki.
Usisahau Man United ikiwa
chini ya Alex Ferguson
ilikubali kumuachia Ronaldo
aende kwa kuwa ilishindwa
kumlipa paumi 350,000 kwa
wiki.
Tayari wamiliki wa Man
United wamemwaga mamilioni
kwa
Wayne Rooney ambaye sasa
atakuwa anapata pauni
300,000 kwa wiki ikiwa ni
baada ya kuanza kumlipa
Ramadal Falcao pauni
390,000 kwa wiki.
Swali linabaki kama ni
kweli Chelsea au Man United
zitakuwa tayari kutoa
kitita hicho. |
Posted via Blogaway
0 comments:
Post a Comment