Monday, September 15, 2014
|
MFANYABIASHARA maarufu nchini
Nigeria amefariki dunia mara baada ya
kubakwa na wake zake watano kati ya
sita anaowamiliki. Hiyo ni kwamujibu wa
gazeti la Dail Mail. Awali Kabla ya
kurejea nyumbani kwake inatajwa kuwa
Uroko Onoja alikuwa akipata ulabu wake
(pombe) katika baa moja huko Ugbugbu
katika jiji la Benue hadi mida ya majogoo.
Tajiri huyo mfanyabiashara aliporejea
nyumbani kwake huku akiwa na usongo
wa mambo nyeti ya sita kwa sita, aliamua
kukata kiu kwa mke wake mdogo (mke
wa sita). Hata hivyo, wake zake wakubwa
watano ile kuona hatua hiyo, ndipo
walipoingiwa na wivu nao wakachukuwa
hatua ya kutinga chumbani nao wapewe
mambo. Wakiwa na silaha za asili kama
visu na fimbo walivamia kitanda cha
Onoja na kumlazimisha to have sex with
them as well.
Onoja alitumika kwa wake zake wanne
kwa zamu. Lakini hali ilikuwa tete pindi
mke wa tano alipo mkaribia
mfanyabiashara huyo ili naye apewe
mambo. Onoja alikuwa akipumua kwa
taabu sana, kisha pumzi zikakata
akafariki dunia papo hapo. Kuona hali
hiyo mke huyo wa tano akatokomea
kusikojulikana, ile hali wake wengine
wawili kati ya hao wanashikiliwa na jeshi
la polisi nchini Nigeria kwa kosa la
mauaji na ubakaji. Onoja was a prominent
member of the Ugbugbu community. |
|
Mwili wa marehemu ukipelekwa hospital |
Credit blog ya mwananchi
Posted via Blogaway
0 comments:
Post a Comment