Monday, September 01, 2014
|
MSHAMBULIAJI Luis Suarez amerejea kwenye
viwanja vya mazoezi vya Liverpool katika siku
ya leo ya mwisho ya usajili... lakini nyota huyo
aliyehamia Barcelona kwa Pauni Milioni 75
alikwenda kuchukua mizigo yake tu.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 27
aliwasili akiwa na zawadi ndogo kwa Steven
Gerrard - jezi ya Barca yenye nina lake- na
Nahodha huyo wa Liverpool ameposti picha
hiyo kwenye akaunti yake ya Instagram.
Iliambatanishwa na ujumbe usemao: "Amekuja
na zawadi kusema kwaheri kwa mtu muhimu
asubuhi hii, namtakia mafanikio makubwa
mchezaji,". |
0 comments:
Post a Comment