Monday, September 01, 2014
|
KINDA wa Chelsea, Marco van Ginkel
amekamilisha uhamisho wa mkopo kwenda AC
Milan, akifuata nyayo za Fernando Torres.
Kiungo huyo wa Uholanzi, Van Ginkel sehemu
kubwa ya msimu wake wa kwanza Stamford
Bridge alikuwa anasumbuliwa na majeruhi na
hivyo kocha Jose Mourinho ameamua kumtoa
akapate uzoefu.
Kuondoka kwa mchezaji huyo kunapunguza
idadi ya wachezaji wa kigeni ili waweze
kuendana na kanuni za mashindano ya Ligi
Kuu ya England na Ligi ya Mabingwa Ulaya. |
0 comments:
Post a Comment