Thursday, September 25, 2014

DOGO AVAMIA UWANJANI, APATA ZAKE SELFIE NA LAMPARD, POLISI WAMZOA

Shabiki mmoja wa Manchester City ameshindwa kujizuia baada ya kuvamia uwanjani wakati wa mechi ya Capital One kati ya timu hiyo dhidi ya Sheffield Wednesday. Dogo huyo alishindwa kujizuia kuonyesha mapenzi yake kwa mkongwe Frank Lampard na kwenda moja kwa moja kupata naye selfie (kujipiga picha kwa kutumia simu). Hata hivyo, baadaye Polisi walimdaka dogo huyo na kuondoka naye uwanjani hapo, hata hivyo alionekana kutojali kiivyo.

0 comments:

Post a Comment