Friday, August 15, 2014

YANGA SC WAKIJUA HII, WATAMLAANI KWELI KWELI MUSONYE

Katibu wa CECAFA, Nicholas Musonye kushoto ambaye aliiondoa klabu ya Yanga SC kwenye michuano ya Kombe la Kagame kwa kutaka kuleta timu ya vijana, akizungumza na Ofisa wa Sekretarieti ya bodi hiyo, Veronica Lusiichi kulia Uwanja wa Nyamirambo, Kigali, Rwanda jioni ya leo wakati mechi za michuano hiyo zikiendelea. Azam FC ilipewa nafasi ya Yanga SC.
Ofisa mwingine wa Mamelodi, Mandla Mazibuko akifuatilia vipaji Uwanja wa Nyamirambo. Kulia ni Mtangazaji kutoka Tanzania, Ibrahim Masoud 'Maestro'
Ofisa wa Idara ya kusaka vipaji ya klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, Russel Molefe kulia akizungumza na Mwandishi wa Habari, Somoe Ng'itu kutoka Tanzania. Yanga SC ingebahatisha kuuza nyota wake klabu hiyo kama wangewavutia wasaka vipaji hawa.

 ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG HII ILA TUNAOMBA UJIUNGE NASI KWA KUBONYA HAPA 


Posted via Blogaway

0 comments:

Post a Comment