Thursday, August 21, 2014
 |
Black Rhyno amewahi kuoa kumzidi kaka yake
Professor J lakini hiyo haimaanishi kuwa
Mchawi huyo wa Rhymes hana mke mtarajiwa.
Kupitia Instagram, Professor J amemweka wazi
mwanamke anayeweza kushika wadhifa wa Mrs
Joseph Haule.
“OF COURSE ni Baba LISA na Mama LISA. ….
What more can I SAY?? #MWANALIZOMBE,”
ameandika Professor kwenye picha hiyo juu. |
0 comments:
Post a Comment