Saturday, August 23, 2014

MSAFARA WA MWISHO WA REAL MADRID ULIVYOTUA DAR, LEO TAIFA PATAPENDEZA

Magwiji wa Real wakisubiri usafiri kuelekea Bahari Beach
Watu walijitokeza kuwapokea
Wanaelekea kwenye basi la Azam FC kwa safari ya hotelini
Msafara wa mwisho wa Real Madrid baada ya kuwasili Dar es Salaam jana jioni tayari kwa mchezo wa leo dhidi ya magwiji wa Tanzania Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

0 comments:

Post a Comment