Kama mnavyojua AGNES MASOGANGE kwasasa
yupo BONGO na Yule jamaa yake yupo
SAUZI..sasa kutokana na taarifa za kile
ambacho MASOGANGE anakifanya hapa mjini
kumfikia jamaa yake huko SAUZI kupitia jamaa
ambao wanampa ripoti zote kutoka hapa
BONGO na hivyo kupelekea kuhatarisha penzi
la MASOGANGE na huyo jamaa…MASOGANGE
AMEAMUA KUFUNGUKA
Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM aliweka
picha hiyo na kuandika kama unavyoona hapa!!! |
0 comments:
Post a Comment