Kocha Phiri amerejea Msimbazi baada ya miaka
minne
Anazungumza na Waandishi wa Habari
Kocha mpya wa Simba SC, Patrick Phiri
akiwapungia mikono mashabiki wa timu hiyo
baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es
Salaam mchana wa leo tayari kusaini Mkataba
wa kurithi mikoba ya Mcroatia, Zdravko
Logarusic aliyevunjiwa Mkataba mwishoni mwa
wiki.
0 comments:
Post a Comment