Saturday, August 09, 2014

HIVI KWA NINI WASANII WENGI WA BONGO NI WAFUPI???? HAWA NI BAADHI YAO.

Nimefanya uchunguzi mdogo tu nimegundua kuwa wasanii wengi wa music Tanzania ni wafupi, sijui kwanini? Au kuna uhusiano wowote ule kati ya ufupi na kipaji? Au ndio ile theory ya kwamba watu wafupi wanapenda sana kujionyesha kwakuwa wanahisi wanadharaulika?

Wafuatao ni baadhi tu kati ya wale wengi:
1. Barnaba Boy
2. Stamina
3. Linnah
4. Sheta
5. Rich Mavoko
6. Nikki wa Pili
7. T.I.D
8. Ommy Dimpoz
9. Dully Sykes
10. Ally Kiba
11. Young Dee
12. Vanesa Mdee

KWANINI WASANII WENGI WA BONGO WAFUPI?

 BONYEZA HAPA KUTOA MAONI YAKO 


Posted via Blogaway

0 comments:

Post a Comment