Saturday, August 09, 2014

Angalia picha ya Wema na Jokate walipokutana kwenye ndege leo

Jokate aliwahi kukiri kwamba aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diamond kwa muda
usiozidi miezi miwili ambapo wakati yuko na Diamond zilitoka stori nyingi pia kuhusu uhusiano wa Wema na Jokate kuingia
matatizoni.

Ni stori ambazo ziliandikwa sana na inawezekana mpaka leo watu wengine walikua wanaamini Jokate na Wema hawawezi kukaa
meza moja ila Aug 9 2014 Wema Sepetubbaada ya kuwasili Mwanza kwa ajili ya show ya
Serengeti Fiesta 2014 baadae CCM Kirumba amepost hii picha.
Wakiwa kwenye ndege ya Fastjet Wema na Jokate wakitokea Dar es salaam walipiga selfie
ambayo Wema ameipost kwenye instagram page yake na kuandika hayo maneno hapo chini akimaanisha wako poa sasa hivi.

 STORY ZINGINE SOMA KWA KUBONYA HAPA 


Posted via Blogaway

0 comments:

Post a Comment