Monday, August 25, 2014

HII NDO TOFAUTI NA BAADHI YA WATU WANAVYO MCHUKULIA ….LULU

"Pepo ipo miguuni mwa mama yako....usifanye mchezo na mama. Hata wakifika followers wengi kama wa Beyoncé. Mama ni mama. Haina ubishi wala usupa star. Nimefurahi kumkuta @officiallulumichael akiwa anampaka mama yake mafuta na kumvalisha viatu. Mwenyezi mungu akuongezee dogo. Kesho massage" ….by @glammadam INSTAGRAM

0 comments:

Post a Comment