Wednesday, August 20, 2014
 |
Shirikisho la Soka la
Kimataifa (Fifa) limepiga
nyundo kwenye kidonda baada
ya kuizua Barcelona
kusajili hadi Januari 2016.
Awali Barcelona ilikata
rufaa kwa Fifa ikipinga
adhabu hiyo, badala yake
Fifa imetia msisitizo
kuhusiana na adhabu hiyo.
Sasa Barcelona itaendelea
kusubiri kufanya usajili
hadi mwaka keshokutwa!. Na mdadisiblog/festosaimon |
0 comments:
Post a Comment