Wednesday, August 20, 2014

FIFA YAIPIGA NYUNDO NZITO TIMU YA BARCELONA

Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limepiga nyundo kwenye kidonda baada ya kuizua Barcelona kusajili hadi Januari 2016. Awali Barcelona ilikata rufaa kwa Fifa ikipinga adhabu hiyo, badala yake Fifa imetia msisitizo kuhusiana na adhabu hiyo. Sasa Barcelona itaendelea kusubiri kufanya usajili hadi mwaka keshokutwa!. Na mdadisiblog/festosaimon

0 comments:

Post a Comment