USHINDI CHELSEA CHELSEA imeshinda mabao 2-1 katika mchezo wake wa mwisho wa kujiandaa na msimu dhidi ya Ferencvaros nchini Hungary. Wenyeji walitangulia kupata bao kupitia kwa Gera dakika ya 17, kabla ya Ramires kuisawazishia timu ya Mourinho dakika ya 51 na Fabregas kufunga la ushindi dakika ya 81.
Kikosi cha Chelsea kilikuwa: Cech/Schwarzer dk46, Azpilicueta/Moses dk60, Christensen/ Cahill dk46, Zouma/Ake dk75, Luis/Ivanovic dk46, Mikel/Hazard dk46, Ramires/Matic dk61, Schurrle/Salah dk46/Van Ginkel dk79, Willian/Fabregas dk46, Torres/Costa dk46 na Drogba/Oscar dk28.
0 comments:
Post a Comment