Wednesday, August 20, 2014

DIVA WA CLOUDS FM ATUBU KUMKOSEA MSANII CHID BENZ BAADA YA KUMCHAFUA HUKO INSTAGRAM!!!

Mwanadada mtangazaji wa Clouds FM, Loveness maarufu kama DIVA..jana kupitia ukurasa wake wa Instagram alikili kumkosea msanii wa Bongo flava, Chid Benz....kutokana na comment yake ya siku za hivi karibuni kuhusiana na issue ya Chid kumpiga Ray C... Soma hapa alichokiandika!!!

0 comments:

Post a Comment