Mabeki wa Beyern Munich, Dante na Boateng wameonyesha wenyewe ni bonge ya mabisho. Wakati wakipiga picha ya pamoja ya kikosi, mabeki hao walizivuta jezi kwa nyuma, eti kisa zibane miili yao na SIX PAC zitokeee! Utaona picha inavyoonyesha namna mabeki hao walivyo mabishoo na wanavyotaka kuteka watoto, hahaha!
ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG HII ILA JIUNGE NASI KWA KUBONYA HAPA
0 comments:
Post a Comment