 |
DJ Choka ingawa hatujui mkoba aliobeba ni wa
nani kati ya Mwasiti, Khadija Kopa au Shilole |
 |
Shilole akieleza alivyojipanga. Pembeni yake ni
DJ Choka |
 |
Ben Pol ambaye ni mwenyeji wa wasanii wote
akiongea |
 |
Joh Makini baada ya kuwasili jijini Dodoma |
 |
Joh Makini akisikiliza moja ya maswali toka kwa
tangazaji wa Dodoma FM |
 |
Izzo Bizness katika interview |
 |
Wasanii wakisubiri kuingia studio za ABM FM |
 |
Rich Mavoko akifanyiwa mahojiano ndani ya
Dodoma FM |
 |
Malkia wa mipasho Khadija Kopa akiimba moja
ya vibwagizo vya wimbo wake |
Hatimaye wakali watakaopanda jukwaani Agosti 16 wamewasili mkoani Dodoma salama salmini.
Wasanii hao waliwasili kwa basi maalum linalotumika katika ziara hiyo mchana na kwenda moja kwa moja katika mahojiano ya moja kwa moja katika vituo vya redio vya mkoani Dodoma. Wakihojiwa kwa nyakati tofauti wasanii hao wamewahakikishia mashabiki kuwa wamejipanga vizuri kulishambulia jukwaa.
Wasanii wanaotarajiwa kupanda jukwaani ni Mwasiti, Khadija Kopa, Shilole, Izzo Bizness, Rich Mavoko, Christian Bella, Madee, MwanaFA na Weusi.
BONYEZA HAPA KAMA BADO UJAUNGANA NA BLOG HII
0 comments:
Post a Comment