Monday, May 19, 2014

MWILI WA MAREHEMU KUAMBIANA WAAGWA LEO BUNJU B..

Ibada ya kumuaga kuambiana ikiendelea
Wasanii mbalimbali wakiwasili Bunju B
Mwili wa marehemu kuambiana ukiwa unawasili Bunju B
Mwili wa marehemu kuambiana ukiandaliwa kwa ajili ya kuagwa
Mtitu akiwa na waombolezaji wenzake Bunju B
Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu Bunju B

Mwili wa marehemu adamu kuambiana umeagwa leo nyumbani kwake Bunju B na ndugu,marafiki,wasanii,wanasiasa wameshiriki tukio hilo.
Kesho asubuhi mwili wa marehemu utapelekwa viwanja vya leaders na baadae kuzikwa katika makaburi ya kinondon jijini Dar es salaam.


Posted by flavian kachira

0 comments:

Post a Comment