Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Meshack John Lusito amegongwa na gari maeneo ya Gezaulole kigamboni jijini Dar es salaam, aliyemgonga amekimbia na gari lake na inasemekana alikuwa kiongozi
Posted by festo saimon
MDADISIBLOG
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Meshack John Lusito amegongwa na gari maeneo ya Gezaulole kigamboni jijini Dar es salaam, aliyemgonga amekimbia na gari lake na inasemekana alikuwa kiongozi
0 comments:
Post a Comment