Wednesday, August 27, 2014
HAYA MAMBO HUFANYIKA KWENYE BAADHI YA PARTY ZA USIKU HAPA BONGO!!!!
SAHAU KUHUSU MASOGANGE, CORAZON, VERA SIDIKA KUTANA NA HUYU ALIEFUNGASHIA NA SIO MCHINA WALA GYM…ANAITWA NAVAH..PICHAZ
Wadada wenye mizigo wapo wengi sana..ili wanakosa PABLISITI ya Social Media...Tumeanza kuwasaka sasa....mcheki kwanza huyu....UMTHAMINISHE... Then
wengine wanafuata!!!
Posted via Blogaway
VAN GAAL HUWEZI KUPIKA CHAPATI KWA UNGA WA MUHOGO
Posted via Blogaway
VAN GAAL HUWEZI KUPIKA CHAPATI KWA UNGA WA MUHOGO
Posted via Blogaway
VAN GAAL HUWEZI KUPIKA CHAPATI KWA UNGA WA MUHOGO
Posted via Blogaway
INAKUWAJE HADI MWANADADA MREMO KAMA HUYU ANAJIPIGA PICHA KAMA HIZI!!! UNADHANI ANAFIKIRIA NINI HAPO!!!
Sijui ni upweke au ndio mapozi ya kisasa...sasa
MUTOTO mzuri kama huyu KUJI-EXPOSE huko
FB ni haki kweli!!!
TAZAMA JINSI VIROBA VILIVYOMFANYA HUYU MWANADADA...VIPI UNAWEZA KUTOKANAYE AUTI DEMU KAMA HUYU?!!
"SYLVESTER STALLONE (RAMBO) AFARIKI BAADA YA AJALI MBAYA YA GARI" UVUMI WAENEA KWA HARAKA MIITANDAONI
Muigizaji wa the "Expendables 3" Sylvester Stallone amekuwa mmoja wa mastaa wa Hollywood ambao wamekuwa ni waathirika wa kuzushiwa kifo. Tetesi zilizosambaa kama moto unaounguza pori/ msitu hasa hasa kupitia mitandao ya kijamii, zilianzia kupitia ukurasa feki wa facebook.
Habari hii ambayo inaonekana kusababisha panic kubwa kwa mashabiki wa muigizaji "Rambo" imepelekea kutumwa kwa salamu za huzuni kutoka kwa mashabiki wake mbalimbali kupitia mtandao wa twitter.
Elinda Hagan @ElindaHagan
Follow
I just heard about Sylvester Stallone! Another favorite actor if mine, RIP
Ripoti hizo za
kifo cha Rambo zinadai kuwa alipata ajali mbaya ya gari iliyosababishwa
na dereva wake aliekuwa amelewa na kutokuona gari kubwa lililokuwa
likija mbele yake.
Hii sio maara ya kwanza kwa muigizaji huyo kuuliwa na internet, mwanzoni uvumi mkubwa wa kifo chake ulioripotiwa na Global Associate News zilidai kuwa Rambo alifariki kwa ajali iliyotokana na snowboarding.
Sylvesta
Stallon (68) yuko hai na mwenye afya njema. Baada ya "Expendable 3"
atakuwa aki-shoot instalment ya 5 ya film yake "Rambo".
Ukiachana na Sylvester Stallon, wengine waliowahi kuzushiwa vifo ni pamoja na Justine Timberlake, Miley Cyrus na Charlie Hunnam
DUH!! NENO MOJA KWA HILI DENDA LA CHRIS BROWN NA DEMU WAKE MPYA KARRUECHE TRAN
HILI NDO CHEZAJI LA KIBRAZIL LINALOTARAJIWA KUINGIA BARCA HIVI KARIBUNI