Tuesday, August 19, 2014
PICHAZ: ILA TUACHE UTANI MENINAH ANA MLIMA WA HATARI!!! ONLY MEN....CHEKI PICHA HIZI
Tuesday, August 19, 2014
No comments
ALI KIBA AELEZEA ALICHOCHUKIZWA NA DIAMOND
Tuesday, August 19, 2014
No comments
Msg 3 nimekutana nazo Whatsapp! Lazma ucheke
Tuesday, August 19, 2014
No comments
DUH, BASIUNAAMBIWA HIZI NDO PICHA TATA ZA DRAKE AKIWA NA NICK MINAJ, FULL MAJANGA. JIONEE
Tuesday, August 19, 2014
No comments
SUAREZ AANZA KAZI RASMI BARCELONA IKIUA 6-0 NA KUTWAA KOMBE
Tuesday, August 19, 2014
No comments
Ameanza kazi: Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Luis Suarez aliyetua kwa Pauni Milioni 75 Barcelona jana ameanza kazi Camp Nou |
MSHAMBULIAJI Luis Suarez jana ameichezea kwa mara ya kwanza timu yake mpya, Barcelona ikishinda mabao 6-0 Uwanja wa Camp Nou dhidi ya FC Leon, baada ya kupunguziwa adhabu na CAS.
Suarez alifungiwa kujihusisha kabisa na soka kwa miezi minne baada ya kumng'ata Giorgio Chiellini wa Italia kwenye Kombe la Dunia, lakini CAS inapunguza makali yake ya soka kwa kumruhusu kufanya mazoezi na kucheza mechi zisizo za mashindano za Uruguay na Barcelona.
Na jana akaingia kuchukua nafasi ya Rafinha dakika ya 76, wakati huo tayari Barca inaongoza 4-0.
WEMA SEPETU AZIDI KUANDAMWA HUYU NAE AFUNGUKA YA MOYONI AKIMSEMA WEMA AACHE UJINGA!
Tuesday, August 19, 2014
No comments
Alichoandika Maulid Kitenge baada ya kuacha kazi ITV/RadioOne
Tuesday, August 19, 2014
No comments
MH!! JAMANI MBONA HAKA KATABIA KAMA KANAZIDI KUKUA KWA KASI....
Tuesday, August 19, 2014
No comments