Monday, August 18, 2014

CHEKI PICHA NNE ZA AMANDA POSHY NI SHEEDAH, KWELI HUYU DADA KAUMBIKA

Maulid Kitenge aacha kazi Radio One/ITV

Mtangazaji mkongwe wa michezo kwenye kituo cha redio cha Radio One Stereo, Maulid Kitenge ameacha kazi.

Katika barua yake ya kujiuzulu, Kitenge ambaye amefanya kazi kwenye kituo hicho kinachomilikiwa na kampuni ya IPP kwa zaidi ya muongo mmoja, amedai kuwa anakwenda kufanya shughuli zake binafsi akidai kuwa ‘hali ya maisha imepanda kwa kiasi kubwa sana na mahitaji ya kimaisha yameongezeka gharama, hivyo inanilazimu kutafuta njia mbadala ya kujiingizia kipato kikubwa zaidi.’

LULU AWAJIBU WANAOSEMA HAWEZI KUMPATA JUSTIN BIEBER, ASEMA UKICHUKIA UKALE MBEGU ZA MALIMAO

Muigizaji Elizabeth Michael aka Lulu anaendelea kuonesha hisia zake kwa Justin Bieber na sasa ameeleza kuwa atakuwa anamuandikia ujumbe kila Jumatatu.

Kupitia Instagram, Lulu amepost picha ya JB akiwa kifua wazi akipiga kinanda na kuandika ujumbe akiwajibu wale wanaodai kuwa anaota ndoto za mchana na kwamba hatampata. “ Mapemaaaa...Kabla cku haijawa ngumu..! Haya ni hv wale wa kuandika ndoto za nn cjui...Mara cjui huwezi kumpata na cjui kimepanda kimeshuka...msinijazie comment😂😂😂Acha niwape ufafanuzi kdgo...ni hv Huyu Bwana swala ya yy kupenda....nimemwachia awapende kina @selenagomez na wengine wote anaotaka kuwapenda...ila swala la yy kupendwa Aniachie Mimi....yan hyo kazi yangu....!!! Sasa Kama ni ndoto Wallah ctaki kuamka,Kama ni ufala...yani ninaukubali kwa asilimia 150%,na mengine mengine yote...sasa Kama nakuchefua,Nina uhakika Zile ndimu za @diamondplatnumz haziwezi kukutosha mana hiki kichefuchefu co cha kuisha,bora utafute mbegu ya Malimao au mbilimbi upande kwako kbsa....Na hili Zoezi ni endelevu...yani kila Jumatatu...Kama Mshahara vile....!!! #MCM...... #Nilikuwepo

 BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI NYINGINE 

HATA MABONGE NAO HUTOKELEZEA NA MAVAZI YA UFUKWEMNI….!!!!HEBU WACHEKI HAWA!!!

Mara nyingi wanawake wenye mili mikubwa maarufu kama MABONGE NYANYA huwa tuna waweka pembeni kwenye mashwala ya ku- SHOW OFF bikini Body zao ..Eti kuwa hawapendezi.....Sasa watazane hawa harafu niambie kama hawajatokelezea...

NANI AMEKWAMBIA ETI KENYA HAKUNA MA- S3XLY LADIES...!!!! UTACHEKWA...WACHEKI HAPA