Wednesday, August 13, 2014

EVERTON YASAJILI WINGA MGHANA WA CHELSEA

Anakwenda: Winga wa Chelsea na Ghana, Christian Atsu anatarajiwa kujiunga na Everton kwa mkopo wa muda mrefuKLABU ya Everton imekubali kumsajili kwa mkopo wa muda mrefu kiungo wa Chelsea, Christian Atsu, kwa mujibu wa kocha Roberto Martinez. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ghana sasa anakwenda kupiga kazi Goodison Park kwa msimu wote wa 2014/2015, kitu ambacho sasa Martinez amethibitisha. Utaratibu wa mkopo umefikiwa baina ya timu hizo mbili, huku...

CHEKI CHELSEA DAY, WACHEZAJI WATAMBULISHWA, DROGBA NDANI

CHELSEA IKIWATAMBULISHA WACHEZAJI WAKE MMOJA MMOJA KABLA YA KUANZA KWA LIGI KUU ENGLAND.BONYEZA HAPA KUSOMA   HABARI NYINGINE&nbs...

ANGALIA MADRID WALIVYOSHANGILIA KOMBE LAO LA SUPER CUP

NAHODHA CASILLAS AKIWA AMEINUA KOMBE LA SUPER CUP, HII NI BAADA YA KUICHAPA SEVILLA MABAO 2...

UNAIKUMBUKA ILE PICHA YA COUTINHO NA MWANAFUNZI WA LOYOLA HIKI NDO KINACHOENDELEA SASA

Uongozi wa Shule ya Sekondary ya Loyola ya Mabibo jijini Dar es Salaam, umewazuia waandishi wa habari kuhudhuria mazoezi ya Yanga. Waandishi wamezuiwa a uongozi wa Loyola, kisa kikiwa ni kupiga picha ya yule binti aliyeomba sahihi ya mshambuliaji wa Yanga, Coutinho. Binti huyo alimfuata Coutinho na kumuomba aweke saini kwenye mkono wake, naye kafanya hivyo, huku waandishi wakijinafasi kwa picha. Siku iliyofuata, picha za binti huyo zilijaa kwenye...

NI PATRICK PHIRI, KOCHA MPYA WA SIMBA SC

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam, Alikuja akaondoka bila kuaga, alirudi akaondolewa kwa sababu, sasa anarejea tena kwa mara ya tatu klabuni Simba SC kama mkufunzi mkuu wa idara ya ufundi. Namzungumzia, kocha raia wa Zambia, Patrick Phiri ambaye anatua nchi leo akitokea kwao kujiunga na Simba kwa mara ya tatu katika kipindi cha miaka kumi’. Phiri ameandaliwa mkataba wa miaka miwili na atasaini mara baada ya kuafikiana kuhusu mambo binafsi. Ni...

RONALDO APIGA ZOTE MBILI REAL MADRID IKIUA 2-0 NA KUTWAA NDOO KUBWA KULIKO ZOTE ZA UEFA

Wafalme wa Ulaya; Wachezaji wa Real Madrid wakifurahia na taji lao la Super Cup ya UEFA leoMagalactico wapya: Kikosi kipya cha kwanza cha Real Madrid kilichotwaa Super Cup leoMambo safi kabisa: Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid Uwanja wa Cardiff CityMABAO mawili ya Cristiano Ronaldo, moja kila kipindi yametosha kuipa Real Madrid ushindi wa 2-0 dhidi ya Sevilla, zote za Hispania Uwanja wa Cardiff City mjini Cardiff na kutwaa...

VAN GAAL AENDELEZA MARAHA MAN UNITED, YAICHAPA 2-1 VALENCIA

Marouane Fellaini akiifungia Manchester United bao la ushindi dhidi ya ValenciaShujaa wa leo: Fellaini (wa tatu kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindiKOCHA Louis van Gaal ameendelea kuwapa raja mashabiki wa Old Trafford baada ya Manchester United leo kuifunga Valencia mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki. Sifa zimuendee Marouane Fellaini aliyefunga bao la ushindi dakika ya 90 na ushei katika mchezo ambao,...

DIEGO COSTA AANZA MAMBO CHELSEA...APIGA ZOTE MBILI THE BLUES IKIICHAPA REAL 2-0

Onyo mapema: Diego Costa akisherehekea baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza Uwanja wa Stamford BridgeMABAO ya mawili ya mapema kipindi cha kwanza ya Diego Costa yameipa Chelsea ushindi wa 2-0 dhidi ya Real Sociedad ya Hispania katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu. Akicheza kwa mara ya kwanza kwenye Uwanja wa Stamford Bridge tangu aiongoze timu yake ya zamani, Atletico Madrid kuifunga timu ya Jose Mourinho katika Nusu Fainali ya Ligi...

Picha: Kampuni ya Japan yatengeneza ‘midoli ya mapenzi’ yenye muonekano halisi wa mwanamke anayevutia!

Kampuni moja ya nchini Japan imedai kufanikiwa kutengeneza midoli ya ngono ‘sex dolls’ yenye muonekano halisi wa mwanamke ambayo huwa na ngozi ya mwili kama ya binadamu na macho kama ya ukweli. Mdoli wa ngono Orient Industry imesema ni ngumu kuitofautisha midoli hiyo na msichana halisi pale unapoitazama kwa mara ya kwanza. Midoli hiyo imepewa jina la ‘Dutch Wives’, na matangazo ya midoli hiyo yanasema kuwa iwapo mwanaume akifanya nayo mapenzi hawezi...

KAVUMBANGU AINUSURU AZAM KULALA KWA WASUDAN

Mkombozi; Didier Kavumbangu ameifungia bao la kusawazisha Azam FC leo KigaliNa Mahmoud Zubeiry, KIGALI AZAM FC imepunguzwa kasi katika Kombe la Kagame, baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 na Atlabara ya Sudan Kusini jioni hii Uwanja wa Stade de Kigali, Nyamirambo mjini hapa. Mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, Didier Kavumbangu aliinusuru Azam kuzama katika mchezo huo wa Kundi A Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, baada ya kuifungia bao la...