Sunday, October 12, 2014

BAADA YA PICHA ZA TRAFIK KUVUJA WAKIPEANA MABUSU KICHAKANI WAKIWA NDANI YA SARE YA KAZI ......! WENGINE HAWA NIMEWANASA

Kutokana na picha zilizovuja hivi kalibuni za Trafiki kupeana mabusu wakiwa ndani ya sare ya kazi na kujipiga picha  kinyume na matakwa yakazi ..

Leo nimeamua kukusanyia baadhi ya picha ya watu au viongozi wanaokula ela zetu za kodi na kufanya mambo ya ajabu tofauti na matakwa yakazi yanayowatuma

Ebu tujifilie mamlaka husika inayohusika na mambo haya wapo wap.

By festosaimon/mdadisiblog

0 comments:

Post a Comment