Kumezuka katabia Kwa Wasanii Mastaa Kuonesha Pesa zao Kwenye Mitandao ya Kijamii Kama Facebook na Instagram wanapozipata kwa Mkupuo , Lulu Michael nae ameingia katika list ya wasanii hao, Juzi Kapost picha hiyo Hapo Juu akionesha zigo laPesa...Je ni Sawa kwa staa kama LuluKufanya Hivyo au ni Ulimbukeni wa Pesa?
0 comments:
Post a Comment