Saturday, August 09, 2014

YANGA ( WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA ( WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014

Mashabiki wakifuatilia mtanange huo .
Ridhiwan Kikwete akishangilia ushindi wa Yanga dhidi ya Simba
Mwigulu Nchemba akiwarushia skafu yake mashabiki wa Yanga .
Hekaheka wakati wa mtanange huo.
Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga , Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3 - 2 dhidi ya Simba leo .
Naibu Waziri wa Fedha , Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa Yanga

Source globalpublisher

0 comments:

Post a Comment