Monday, August 25, 2014

VAN GAAL AMTETEA YOUNG, ASEMA HAKUJIRUSHA BANA!

Kocha Louis van Gaal amesema kiungo wake wa pembeni, Ashley Young hakujirusha makusudi kupata penalti katika mechi dhidi ya Sunderland iliyomalizika kwa sare ya mabao 1-1. Beki Wes Brown aliuondoa mguu wake wakati anakutana na Young lakini akaanguka na mwamuzi Martin Atkinson akamlamba kadi ya njano.

0 comments:

Post a Comment