Simba imetua mjini Unguja tayari kuanza kambi ya kujiandaa na msimu mpya. Hata hivyo, kikosi cha Simba kimetua Zanzibar bila ya kocha wake, Patrick Phiri.
Selemani Matola ambaye ni kocha Msaidizi, ndiye atakiongoza kikosi hicho. Kwa mujibu wa uongozi wa Simba, Phiri ambaye juzi amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuinoa Simba, atawasili Zanzibar leo kuendelea na kazi.
BONYEZA HAPA KUHUNGANA NA BLOG HII ILI UPATE HABARI MBALIMBALI PUNDE ZITUFIKIAPO
0 comments:
Post a Comment