''(Sina maneno ya kusema zaidi ya
kumshukuru Mungu kwa uponyaji wake, pia nawashukuru watu wote walioniombea pamoja na waliokuja kuniona hata wale
ambao wameshindwa kufika, kwani najua walikuwa wakiniombea)'' Hayo ni baadhi ya maneno ya muimbaji wa nyimbo za injili Bahati Bukuku, akiieleza
GK, kutokana na ajali aliyopata usiku wa kuamkia tarehe 26 Julai 2014.
0 comments:
Post a Comment