Saturday, August 09, 2014

MADEE AMTAFUTA ALIYEMWAGA POMBE YAKE NDANI YA TAMASHA LA MATUMAINI 2014

Madee akisema na mashabiki wake.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya kutoka Kundi la Tip Top Connection, Ahmad Ally ' Madee' akiwapagawisha mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 .
Mashabiki baada ya kupagawa na shoo ya Madee.

Source gp

0 comments:

Post a Comment