Karembeu akiwa na Mkurugenzi wa kampuni ya TSN, Farough Baghozah kushoto, ambaye kampuni yake ndiyo inawaleta magwiji wa Real nchini |
Magwiji wa Tanzania wanaendelea na mazoezi Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo huo, kulia ni Stephen Nyenge, kushoto Boniface Pawasa |
0 comments:
Post a Comment