Wednesday, August 27, 2014
 |
Chezaji la Wenger: Mshambuliaji Benik Afobe
anayecheza kwa mkopo MK Dons ya Daraja la
Kwanza kutoka Arsenal, akishangilia bao la nne
alilofunga jana dhidi ya Manchester United
mchezo wa Kombe la Ligi. United ilichapwa
4-0, mchezaji huyo akifunga mabao mawili |
 |
Benik Afoba (kushoto) akifunga bao la tatu
pembeni ya Keane wa United |
0 comments:
Post a Comment