Wednesday, August 27, 2014

Hili ndo chezaji la wenger lililo ipiga shetani lekundu kipigo cha mbwa mwizi

Chezaji la Wenger: Mshambuliaji Benik Afobe anayecheza kwa mkopo MK Dons ya Daraja la Kwanza kutoka Arsenal, akishangilia bao la nne alilofunga jana dhidi ya Manchester United mchezo wa Kombe la Ligi. United ilichapwa 4-0, mchezaji huyo akifunga mabao mawili
Benik Afoba (kushoto) akifunga bao la tatu pembeni ya Keane wa United

0 comments:

Post a Comment