Mtoto Nasra aliyekuwa anatibiwa katika Hospitali ya Muhimbili baada ya kuugua na kupata ulemavu baada ya kufungiwa ndani ya boksi afariki Dunia.
Nasra alifichwa ndani ya boksi na mama mkubwa wake Mariamu saidi tangu akiwa na miezi tisa Mama yake mzazi alipofariki dunia
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI #AMEN
Posted via Blogaway
0 comments:
Post a Comment