Sunday, May 25, 2014

NYILAWILA,MBELWA WAZICHAPA KAVUKAVU NJE YA ULINGO, PAMBANO LA VUNJIKA.

Mbelwa akiwa chini baada ya kusukumwa na konde zito
Baada ya vurugu
Nyila wila (kushoto) akimpelekea konde Mbelwa
Wakiwa katika nipige ni kupige

Pambano la kugombea mkanda wa UBO kati ya bondia Karama Nyilawila na Daudi Mbelwa usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Hotel ya friends corner Manzese. Lilivunjika raundi ya nane  baada ya mabondia kushuka chini ya ulingo na kuanza kuzichapa kavukavu.

Mabondia hao walifika hatua hiyo baada ya kukamiana kupita kiasi hali iliyowapelekea kusahau sheria na kuzichapa kiadui.

Licha ya pambano hilo kuvunjika mwamuzi, Antoni Ruta alisema kuwa Nyilawila alikuwa anaongoza kwa point.


Posted by flavian kachira

0 comments:

Post a Comment