Tuesday, September 30, 2014
 |
| Mshambuliaji wa TP Mazembe, Mtanzania
Mbwana Samatta akimtoka beki wa ES Setif y
Algeria Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi
jana katika Nusu Fainali ya pili ya Ligi ya
Mabingwa Afrika. Mazembe ilishinda 3-2 na
kufanya sare ya jumla ya 4-4 baada ya awali
kufungwa 2-1 Algeria, hivyo kutolewa kwa mab
ya ugenini. |
 |
| Samatta akipasua katikati ya mabeki wa Setif |
 |
| Samatta akitafuta mbinu za kuwatoka mabeki
Setif |
0 comments:
Post a Comment